Friday, January 30, 2009

NAKAAYA KALA SHAVU SONY

Tanzania songbird NAKAAYA SUMARI signed to SONY MUSIC ENTERTAINMENT making history by being the first East African artist ever to be signed to the second largest record company in the world.Baadhi ya wanamuziki ambao wako under this label ni Beyonce Knowles,Alicia Keys,Chris Brown,Sean Kingstone na wengineo wengi tu wenye majina makubwa.Big up Nakaaya Sumari.
Kwa habari zaidi nenda linki hii hapa;

NICE TRANSITION