Thursday, November 27, 2008

WAHESHIMIWA WANAPOWEKWA KITIMOTO



Inavutia kuona kwamba suala zima la jina la mtu haliangaliwi katika mkono wa sheria.
Waheshimiwa hawa(DANIEL YONA na BASIL MRAMBA) wakisomewa mashtaka yao katika mahakama ya Kisutu.Picha ya juu wakielekea gereza la keko baada ya masharti ya dhamana kuwa magumu.

Mambo ya KP

Huu ni mwanzo mzuri wadau kwa rangi yetu.Ni mfano mzuri wa kuigwa

TAKA

Nini kifanyike kwa hali kama hii?

BEDAJUNIOR: MWANZO MZURI KUKOMESHA UFISADI!

BEDAJUNIOR: MWANZO MZURI KUKOMESHA UFISADI!

MWANZO MZURI KUKOMESHA UFISADI!

Japo mwanzo ni mgumu lakini tunaamini kwa jitihada hizi,Mheshimiwa RAISI anawapa matumaini watanzania waliomchagua.Tunategemea jitihada hizi hazitoishia kwa BASIL MRAMBA na DANIEL YONA tu katika suala zima la kukomesha ufisadi bali kila anayestahili kufikishwa katika mkono wa sheria na ashughulikiwe.
Hii inawapa changamoto wananchi katika suala zima la maendeleo na imani katika serikali yao.Na tuone basi hizo hela zirudishwe,isiwe ikawa janja ya nyani.
bedajunior