Friday, January 30, 2009

NAKAAYA KALA SHAVU SONY

Tanzania songbird NAKAAYA SUMARI signed to SONY MUSIC ENTERTAINMENT making history by being the first East African artist ever to be signed to the second largest record company in the world.Baadhi ya wanamuziki ambao wako under this label ni Beyonce Knowles,Alicia Keys,Chris Brown,Sean Kingstone na wengineo wengi tu wenye majina makubwa.Big up Nakaaya Sumari.
Kwa habari zaidi nenda linki hii hapa;

NICE TRANSITION


Thursday, January 22, 2009

WAWILI WAHUKUMIWA KIFO KWA SCANDAL YA MAZIWA YENYE SUMU(MELAMINE) CHINA

Mwanamke aliyefiwa na mtoto wake baada ya kunywa maziwa yenye sumu akilia kwa uchungu na kuonyesha kipeperushi chake kilichoandikwa nirudishieni mtoto wangu!!
2 death sentences given in China milk scandal
SHIJIAZHUANG, China – A Chinese court condemned two men to death Thursday and handed a life term to a former dairy boss in the first sentences for those involved in the country's contaminated milk scandal.
The Intermediate People's Court in Shijiazhuang gave the life sentence to Tian Wenhua, 66, the former general manager and chairwoman of Sanlu Group Co., the dairy at the center of the crisis. She was the highest-ranking official charged in the food safety scandal, widely seen as a national disgrace that highlighted corporate and official shortcomings and corruption.
At her trial at the end of December Tian pleaded guilty to charges of producing and selling fake or substandard products after infant formula tainted with the chemical melamine was blamed in the deaths of at least six babies and the illnesses of nearly 300,000 others.
The court also sentenced Zhang Yujun, 40, to death for running a workshop that was allegedly China's largest source of melamine, said spokesman Wang Wei. A second man, Geng Jinping, was also given the death penalty for producing and selling toxic food.
Zheng Shuzhen, from Henan province, said her 1-year-old granddaughter died in June after drinking Sanlu milk.
"I've run out of tears. ... That's why I came today. Even if (Tian) dies a hundred times over, it won't lessen our hate," Zheng said.
A total of 21 defendants were being sentenced Thursday in connection with the case.
Two men, including 24-year-old Zhang Yanzhang, were sentenced to life imprisonment for endangering public safety. Zhang Yanzhang was accused of working with Zhang Yujun.
Three other former Sanlu executives were given between five years and 15 years in prison.
The sentences were read out by Wang outside the court, where families of babies sickened in the scandal had anxiously gathered.
In a reflection of the trial's sensitivity, dozens of policers officers guarded the courthouse and cordoned off the surrounding area with plastic barriers. Officers told the victims' families to keep about 100 yards (meters) away.
Sanlu, along with the other 21 dairy companies involved in the scandal, have proposed a 1.1 billion yuan ($160 million) compensation plan. More than 200 families have filed suit demanding higher compensation and long-term treatment for their babies.
Zhao Lianhai, who has set up a Web site to help organize parents whose children were sickened, said about a dozen parents from across the country had hoped to attend the sentencing but only seven showed up.
Authorities detained at least two sets of parents of melamine victims as they attempted to travel to the courthouse, said Li Fangping, a Beijing lawyer who has worked with the parents since news of the poisonings emerged.
Dong Shiliang, from southern Yunnan province, was stopped from boarding a plane in Kunming on Wednesday while Liu Donglin was being held at a Beijing police station, he said.
During her Dec. 31 trial, Tian admitted she had known of problems with her company's products for months before informing authorities. The scandal was exposed in September.
Investigations showed that middlemen who sold milk to dairy companies were watering down raw milk, then mixing in nitrogen-rich melamine to fool quality tests for protein content.
Normally used to make plastics and fertilizer, melamine can cause kidney stones and kidney failure when ingested in large amounts. The discovery of melamine in dairy exports such as chocolate and yogurt triggered a slew of product recalls overseas.

Wednesday, January 21, 2009

MR PRESIDENT'S CARDILLAC ONE


WACHINA NUKSI, 'FEKI' MPAKA KWENYE MAYAI!

WACHINA NUKSI, 'FEKI' MPAKA KWENYE MAYAI!
During a recent raid on a wholesale centre in Guangzhou city, the capital of China 'sGuangdong province, a large quantity of fake eggs was seized. Their wholesale price is 0.15 yuan (S$0.03) each - half the price of a real egg. Consumers have a hard time telling a genuine egg from a fake one.This is good news for unscrupulous entrepreneurs, who are even conducting three-day courses in the production of artificial eggs for less than S$150. A reporter with Hong Kong-based Chinese magazine East Week enrolled in one such course. To create egg white, the instructor - a woman in her 20s - used assorted ingredients such as gelatin, an unknown powder, benzoic acid, coagulating material and even alum, which is normally used for industrial processes.For egg yolk, some lemon-yellow colouring powder is mixed to a liquid and the concoction stirred. The liquid is then poured into a round-shaped plastic mould and mixed with so-called 'magic water', which contains calcium chloride.This gives the 'yolk' a thin outer membrane, firming it up. The egg is then shaped with a mould. The shell is not forgotten. Paraffin wax and an unidentified white liquid are poured onto the fake egg, which is then left to dry.The artificial egg can be fried sunny-side up or steamed. Although bubbles appear on the white of the egg, those who have tasted it say the fake stuff tastes very much like the real thing. But experts warn of the danger of eating fake eggs. Not only do they not contain any nutrients, a Hong Kong Chinese University professor warned that long-term consumption of alum could cause dementia
MADHARA MAKUBWA ATAKAYOPATA MTU ANAYEKULA MAYAI HAYA FEKI IMEELEZWA NI KUHARIBIKA KWA MFUMO WA KUMBUKUMBU KWENYE UBONGO, YAANI MEMORY INAKUWA ZERO!!!

Tuesday, December 30, 2008

HAPPY NEW YEAR!!


May all the dreams in your eyes, all the desires in your heart and all the hopes in your life blend together, to give you the most spectacular New Year ever. Happy New Year!!!!!

Tuesday, December 23, 2008

MAHARAGE: Chakula bora kwa wenye presha, kisukari
BAADHI ya watu hawapendi kutumia maharage kama mboga kutokana na kuonekana kama ni mboga ya kimasikini, lakini kiafya maharage ni miongoni mwa mboga zenye faida kubwa mwilini na hutoa ahueni kubwa kwa watu wenye matatizo mbalimbali ya kiafya kama tutakavyoona leo katika makala haya;
Kwa mujibu wa utafiti mbalimbali, maharage, hasa yale meusi, ni chanzo kizuri cha kirutubisho aina ya ‘faiba’ kinachoshusha kiwango cha kolestro mwilini. Vile vile kiwango cha ‘faiba’ kilichomo kwenye maharage meusi, huweza kudhibiti kiwango cha sukari kisipande haraka baada ya chakula, hivyo kufanya maharage kuwa lishe nzuri kwa wagonjwa wa kisukari na shinikizo la juu la damu.
Iwapo utapata mchanganyiko wa maharage meusi na ule mchele ‘mweusi’ ambao haujakobolewa na kuondolewa virutubisho vyake muhimu (brown rice), basi utaweza kupata kiasi kikubwa cha protini na faiba ambacho huwezi kupata kutoka katika chakula kingine.
Aidha, utafiti wa muda mrefu uliofanywa na jarida moja lijulikanalo kama ‘Journal of Agriculture and Food Chemistry’, unaonesha kuwa mbali ya maharage kuwa na kiwango kikubwa cha ‘faiba’, pia maharage yana virubisho vingine vinavyojulikana kama ‘anthocyanins’ ambavyo hutoa kinga mwilini (antioxidant). Kiwango cha virutubisho hivyo kilichomo kwemye maharage, kinaelezwa kuwa ni kikubwa kuliko hata kinachopatikana kwenye matunda kama zabibu ambayo inaaminika kuwa na kiwango kikubwa zaidi.
Inaelezwa pia kuwa, watafiti walipofanya tathmini ya ziada kwenye maharage, waliweza kubaini kuwa maharage yanapokuwa meusi zaidi, ndivyo ambavyo kiwango kikubwa cha kinga kinavyoweza kupatikana, yakifuatiwa na maharage ya rangi nyekundu, kahawia, njano na mwisho meupe. Hii ina maana kwamba maharage meusi ndiyo yana virutubisho vingi zaidi kuliko maharage meupe na rangi nyingine.
Kwa ujumla, kiwango cha kinga (antioxidant) kilichomo kwenye maharage meusi ni mara kumi ya kile kinachopatikana kwenye matunda kama machungwa, zabibu na mengine. Hivyo unapokula maharage, siyo tu unapata ‘faiba’ ya kutosha bali pia unapata virutubisho muhimu mwilini kwa ajili ya kutengeneza kinga ya mwili dhidi ya vinyelezi vya maradhi.
Yafuatayo ni baadhi ya matatizo ya kiafya yanayoweza kudhibitiwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa maharage meusi kama ilivyothibitika katika tafiti mbalimbali za kisayansi;
MAHARAGE YANA KINGA DHIDI YA SARATANI Utafiti umefanyika na kuthibitisha kuwa maharage meusi yana uwezo wa kutoa kinga mwilini dhidi ya saratani za aina mbalimbali.
MAHARAGE KINGA DHIDI YA UGONJWA WA MOYO Utafiti ulionesha pia watu wanaokula chakula chenye kiwango kingi cha ‘faiba’ kama vile maharage, hawako hatarini kupatwa na magonjwa ya moyo, ikiwemo kiharusi.
MAHARAGE HUONGEZA NGUVU MWILINI Ulaji wa maharage meusi husaidia kurejesha madini chuma mwilini na hivyo kuupatia mwili wako nguvu.
MAHARAGE YANA PROTINI NYINGI Maharage yana kiwango cha juu cha protini bora mwilini, hivyo badala ya nyama nyekundu, ambayo ikizidi ina madhara mwilini, kula maharage meusi.
Hizo ndiyo faida za maharage mwilini ambazo kila mtu anapaswa kuzijua kwa faida ya afya yake ya sasa na ya baadae.