Saturday, December 13, 2008

MAMBO YA RUGBY!!



ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUCHOMWA NA MSHALE KICHWANI!!


Mwanafunzi wa umri wa miaka 11 nchini China (pichani juu), amenusurika kufa baada ya mshale uliorushwa na rafiki yake kuzama kichwani mwake kupitia kwenye jicholake, aliwahishwa hospitali huku mshale huo ukiwa bado umezama kwenyekichwa chake...kwa habari zaidi: NIFAHAMISHE.COM



Source; www.abdallahmrisho.blogspot.com






No comments: