Thursday, November 27, 2008

WAHESHIMIWA WANAPOWEKWA KITIMOTO



Inavutia kuona kwamba suala zima la jina la mtu haliangaliwi katika mkono wa sheria.
Waheshimiwa hawa(DANIEL YONA na BASIL MRAMBA) wakisomewa mashtaka yao katika mahakama ya Kisutu.Picha ya juu wakielekea gereza la keko baada ya masharti ya dhamana kuwa magumu.

No comments: